Idara ya Huduma za Sheria
i.kufungua mashauri mahakamani ili kuzuia vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu au kurekebisha haki inayotokana na uvunjwaji huo wa haki za binadamu, au ukiukwaji wa misingi ya utawala bora;.
Ii Kupitia sheria, kanuni na miswaada ili kuhakikisha kuwa zinawiana na vigezo vya haki za binadamu na misingi ya utawala bora
iii.Kutoa Ushauri kwa Serikali Kuhusu Kuridhia Mikataba ya Kimataifa ya Haki za Binadamu na kufanya marekebisho ya sheria za ndani ili kuendana na matakwa ya mikataba inayoridhiwa.
iv.Kushirikiana masharika ya umoja wa Mataifa,Umoja wa Afrika,Jumuiya za Madola,Taasisi za nchi za nje na ndani.
v.Kuwezesha utekelezaji wa mapendekezo ya Tume yaliyotolewa kwa Taasisi Binafsi na za Serikali