ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

Kitengo cha Uhasibu

i.Kupokea/kuwasilisha nyaraka zote za malipo ya kifedha wizara ya Fedha (Hazina)

ii.Kuwa Ilisha orodha ya malipo wizara ya Fedha (Hazina)

iii.Kuandaa taarifa ya kila mwezi

iv.Kusimamia rasilimari fedha kwa kuzingatia sheria ya fedha za Umma na kanuni zake za mwaka 2001 marejeo ya mwaka 2004 na miongozo inayotolewa na Serikali kupitia wizara ya Fedha.

v.Kuandaa usuluhishi wa fedha kila mwezi

vi.Kuandaa taarifa ya kifedha kila robo mwaka na nusu mwaka

vii.Wajibu wakupokea fedha na maduhuri kulingana na miongozo na kanauni za fedha

viii.Kulipa malipo mbalimbali kwa njia ya hundi kupitia hazina na Benk Kuu

ix.Kusimamia rasilimali fedha kwakuzingatia  sheria ya fedha za iumma na  kanuni zake za mwaka 2001 na marejeo  ya mwaka 2004  na miongozo inayotolewa na serikali kupitia wizara ya fedha