ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

Human Rights and Good Governance Division

i.Kuchunguza malalamiko na matukio ya uvunjwaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora;
i.Kushirikiana na taasisi zingine za uchunguzi ili kuimarisha kazi za uchunguzi;
i.Kuchukua hatua za kiulinzi na utunzaji wa siri katika mchakato wa uchunguzi, ikiwemo kulinda wachunguzi, mashahidi, watoa taarifa na watu wanaojitolea kutoa taarifa kwa mujibu wa sheria;
iv.Kutoa mapendekezo kwa Wizara, Idara, Wakala, Serikali za Mitaa, Sekta binafsi, AZAKI na wadau wengine katika masuala yanayohusiana na haki za binadamu na misingi ya utawala bora na kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mapendekezo hayo;
iv.Kufanya upatanishi na usuluhishi kati ya watu wanaofika mbele ya Tume wakati wa uchunguzi au baada ya matokeo ya uchunguzi kuwasilishwa katika mamlaka husika kwa utekelezaji; na
v.Kushughulikia maeneo mahsusi ya haki za binadamu na utawala bora kutoka taasisi za kikanda na kimataifa ambazo Tume ni mwanachama.
vi.Divisheni hii itaongozwa na Mkurugenzi na itakuwa na sehemu mbili ambazo ni:
vii.Sehemu ya Haki za Binadamu; na

iv.Sehemu ya Utawala Bora.