ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

WATUMISHI AJIRA MPYA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) WAAPISHWA

29 Jan, 2025
WATUMISHI  AJIRA MPYA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB) WAAPISHWA

Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora THBUB Mhe. Dkt.Thomas Masanja amewaapisha Watumishi wapya wa THBUB tisa (9) ambao ni Madereva, Watunza Kumbukumbu na Wandishi waendesha Ofisi.

Uapisho huo ulishuhudiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali watu Bw.Gabriel Robi na Afisa Uchunguzi Mkuu Bw. Fadhili Muganyizi.

Watumishi hao wamepangiwa kazi katika Ofisi za THBUB zilizopo Dodoma, Mtwara na Mwanza