Mwenyekiti Wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mathew Mwaimu (Jaji Mstaafu) akitoa taarifa kwa Mhe. Balozi Pindi Chana wakati wa kikao kifupi kilichofanyika Makao Makuu ya Ofisi za Tume,...
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Pindi Chana (katikati) na Naibu wake, Mhe. Pauline Gekul (wa pili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi na Watumishi wa THBUB alipotembel...
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Pindi Chana akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Kilimani jijini Dodoma...
Mwenyekiti Wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Mathew Mwaimu (Jaji Mstaafu) akimwonesha Mheshimiwa Waziri nyaraka mbalimbali kabla ya kumkabidhi nyaraka hizo leo Septemba 7, 2023...
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Pindi Chana akipokea zawadi ya ua mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani jijini Dodoma leo Septemba 7, 2023.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Gekul akitia saini katika kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani jijini Dodoma leo Septemba 7, 2023.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Pindi Chana (Mb) akitia saini katika kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani jijini Dodoma leo Septemba 7, 2023.