Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akimkabidhi zawadi Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe.Charlotta Ozaki Macias mara baada ya mazungumzo baina y...
Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Mhe.Charlotta Ozaki Macias akiongea na viongozi wa juu wa Tume (hawako pichani) leo Mei 5,2023Makao Makuu ya Ofisi za Tume,Kilimani jijini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe.Mohamed Khamis Hamad akieleza kuhusu utekelezaji wa mradi wa Haki za Binadamu na Biashara(Bussiness and Human Rights project) wakati...
Mkuu wa masula ya Siasa na Uhamasishaji wa Biashara(Head of Political and Trade Promotion)kutoka Ubalozi wa Sweden nchini Tanzania,Bwana Joakim Ladeborn akiongea wakati wa mazungumzo baina ya viongozi...
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Mhe.Charlotta Ozaki Macias mara baada ya kuwasili katika Ofisi...
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Khamis Hamad akiongea na vyombo vya habari wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kimkoa uwanja...
Viongozi wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nao walijitokeza kwa wingi wao kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi, 2023 jijini Dodoma. Wakiwa jukwaa kuu, kutoka kulia ni: Makamishna wa Tume, W...
Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Ofisi Kuu ya Dodoma wakiwa na nyuso za furaha wakipita kwa kujiamini mbele ya jukwaa kuu uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Mei 1, 2023
Baadhi ya Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Ofisi Kuu ya Dodoma wakipita katika mitaa mbalimbali ya jijini Dodoma wakielekea uwanja wa Jamhuri yalikofanyika Maadhimisho ya Mei Mos...
Baadhi ya Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Ofisi Kuu ya Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja viwanja vya Bunge jijini Dodoma kabla ya kuanza matembezi ya takriban kilometa 3 kuel...