Tume Ya Afrika Ya Haki Za Binadamu Na Watu, Yatembelea Makao Makuu, Ya THBU; Dodoma
Kamishna wa THBUB, Mhe. Nyanda Shuli (wa tatu kushoto) akifuatilia hotuba wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria nchini yaliyofanyika Februari 1, 2023 viwanja vya Chinangali jijini. Wengin...
Baadhi ya Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini, viwanja vya Chinangali jijini Dodoma Februari 1, 2023.
Mwenyekiti wa THBUB, Mhe. Jaji Mst. Mathew Mwaimu (wa pili kushoto) akiwa na Jaji Mkuu Mstaafu, Mhe. Othmani Chande (wa kwanza kushoto) pamoja na Majaji Wastaafu wengine wakiondoka katika viwanja vya...
Mwenyekiti wa THBUB, Mhe. Jaji Mst. Mathew Mwaimu (wa nne kushoto, waliosimama) na Majaji Wastaafu wenzake wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe....
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (wa nne kushoto) na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Jaji Mst. Mathew Mwaimu (wa tano kulia) wakiwa katika picha ya pam...
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mathew Mwaimu (Jaji Mst.) mara baada ya mazu...