Kaimu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Hajjat Fatuma Muya(kushoto) akiongea na Muwakilishi kutoka taasisi ya IWGIA, Marianne Wiben Jensen katika ofisi yake Novemba 23, 2018.Wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Elimu kwa Umma na Mafunzo, Alexander Hassan na aliye kati ni Afisa Uchunguzi, Florence Chaki.
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Hajjat Fatuma Muya( wa pili kutoka kushoto) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Mheshimiwa Ernest Mangu ( wa pili kutoka kulia) walipokutana jijini Kigali, Rwanda. Wengine ni wajumbe waliohudhuria Mkutano mkuu wa AOMA.
There are no articles in this category. If subcategories display on this page, they may contain articles.