The Commission for Human Rights and Good Governance (CHRAGG) is an independent government department, established as the national focal point institution for the promotion and protection of human rights and duties as well as good governance in Tanzania. CHRAGG was established under Article 129(1) of the Constitution of the United Republic of Tanzania of 1977 as amended by Act No. 3 of 2000.The Commission became operational on the 1st July 2001 after the coming into force of the Commission the Human Rights and Good Governance Act No7 of 2001 as amended by Act No 16 of 2001 and Government Notice No. 311 of 8th June 2001. The Commission was officially inaugurated in March 2002 following the appointment of Commissioners by the President of the United Republic of Tanzania. download Act No. 7
Maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu (Desemba 10 2011) -Viwanja vya Mnazi mmoja
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mwaka huu ( 10 Desemba 2011) itafanya maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu katika viwanja vya Mnazi mmoja na Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo atakuwa Mhe.Celina Kombani Waziri wa Katiba na Sheria. Kauli mbiu ya mwaka huu ni Haki za binadamu na Mitandao ya kijamii

Mhe. Celina Kombani Waziri wa Katiba na Sheria, Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya haki za Binadamu
Maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu ni moja kati ya jitihada za jumuia ya kimataifa katika kulinda, kuhifadhi, kukuza na kutetea haki za binadamu duniani kote. Tarehe 10 desemba 1948 Mkutano wa Umoja wa Mataifa uliridhia kutangaza Azimio la kimataifa la Haki za Binadamu(Universal Declaration of Human Rights).
Kutokana na tukio hilo la kihistoria , Mkutano wa Umoja wa Mataifa ulihimiza nchi wanachama kuhakikisha kwamba Azimio hili linatangazwa,linawekwa wazi, linasomwa na kufundishwa mashuleni na katika taasisi za elimu bila kuathiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa,kidini,jinsia,rangi au maskani ya mtu. katika kuenzi hilo iliamuliwa na Umoja wa Mataifa kuwa tarehe kumi (10) ya mwezi wa kumi na mbili kila mwaka iwe ni siku ya Haki za Binadamu. soma zaidi
Ziara ya mwakilishi wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa
Mwakilishi wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa kwenye
maswala ya ukatili dhidi ya watoto, Bi Marta Santos Pais ambaye amewasili nchini tarehe 17.09.2011 amefanya ziara ya kwanza kwenye ofisi za Tume za Haki za Binadamu na Utawala Bora na kuzungumza na wafanyakazi, maofisa wa Taasisi za Serikali na waandishi wa habari Jumapili 18.09.2011.
maswala ya ukatili dhidi ya watoto, Bi Marta Santos Pais ambaye amewasili nchini tarehe 17.09.2011 amefanya ziara ya kwanza kwenye ofisi za Tume za Haki za Binadamu na Utawala Bora na kuzungumza na wafanyakazi, maofisa wa Taasisi za Serikali na waandishi wa habari Jumapili 18.09.2011.Dr. Santos ameipongeza Tanzania kupitia Tume Ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kwa kuwa nchi ya kwanza kufanya utafiti kwenye masuala ambayo yanahusu haki za watoto, hususani watoto wanaoshikiliwa kwenye vituo vya kuhifadhi watoto wanaokumbana na matatizo ya sheria.
Dk. Marta Santos Pais, alisema Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imekuwa ikishughulikia masuala ya ukatili dhidi ya watoto inadhihirisha kuwapo kwa hatua kubwa ambayo inaifanya Tanzania kuwa mfano duniani. Pia ameahidi kuizungumzia Tanzania kwenye ripoti yake kwenye Mkutano wa Umoja wa mataifa mwezi ujao ili iwe kama kichocheo kwa nchi zingine.
Speech
Tanzania Universal Periodic Review
On 3rd October 2011, Tanzania will be reviewed under the Universal Periodic Review mechanism by the Human Rights Council.
The government of the United Republic of Tanzania as well as stakeholders from the civil society organisations (CSOs) submitted reports on the situation of human rights in Tanzania for review under this mechanism on the date mentioned above. The Commission for Human Rights also submitted its individual report for review. read more